P.O Box
38252
Location
Tanzania
information@agpahi.or.tz
Telephone
+255 22 2600606
Kifua Kikuu na UKIMWI ni magonjwa mawili yenye uhusiano ambapo kila ugonjwa huongeza kasi ya ugonjwa mwingine.
Mtu anaweza kuishi navimelea vya Kifua Kikuu bila kuugua kifua kikuu kama kingayake ya mwili ni imara.
KUMBUKA: Sio kila mgonjwa wa kifua kikuu ana VVU na si kila anayeishi na VVU ana Kifua Kikuu
Kifua Kikuu na UKIMWI ni magonjwa mawili yenye uhusiano ambapo kila ugonjwa huongeza kasi ya ugonjwa mwingine.
Mtu anaweza kuishi navimelea vya Kifua Kikuu bila kuugua kifua kikuu kama kingayake ya mwili ni imara.
KUMBUKA: Sio kila mgonjwa wa kifua kikuu ana VVU na si kila anayeishi na VVU ana Kifua Kikuu